Monday, April 18, 2011

UNAJUA KUWA UMEUSHINDA ULIMWENGU?

1Yohana 4:4
"Ninyi, watoto wadogo, mwatokana na MUNGU nanyi mmewashinda, kwa sababu yeye aliye ndani yenu ni mkuu kuliko yeye aliye katika dunia"


Leo, ni veme kukumbushana kuwa tu washindi katika maish ay ahapa duniani ambayo MUNGU mwenyewe alituandalia sisi ili tuweze kuyaishi.Hivyo ndugu wewe na mimi tu washindi katika maish akatika nafasi zifuatazo:-
  • Kazi nzuri
  • Kumiliki magari na majumba makubwa
  • Kampunij mbalimbali
  • Kuwa vongozi ili MUNGU aweze kuinuliw akatika nyanja mabalimabli za serikali na jamii kwa ujumla
  • Kuhudumu kwa uaminifu
  • Kutoa msaada na wala sio sisis kuanza kuomba msaada kwa watu wengine
  • Matajiri wa kuigwa kwani tutakuwa tukiongozwa na ROHO wake atutiae nguvu za utajiri
Unapokuwa muhitaji MUNGU anakusubiri tu umwambie unachohitaji ili ufanikiwe na pia anakungoja wewe uwe tayari il aweze ukumilikisha mali zake hivyo ndgugu hujachelewa hta kidogo bali yakubasa kukazana ili uweze kufiki akiwango kinachohitajika cha imani ili uweze kufanikiwa.

NEEMA YA MUNGU YANITOSHA: SHALOM...........!


NEEMA YA MUNGU YANITOSHA: SHALOM...........!

Maisha mazuri y amafanikio na amani..................

Kila mtu anataman masha mazuri ambayo yanampa raha kila mara anapoyaishi,
Hii ni sawa kabisa, ni haki ya kila mtu kuwajibika ipasavyo ili kupata maish ahayo anayoyapenda yeye,
Katika kujitahidi kuayatafuta watu wengi wamejikuta wakiangua kia katika njia ambazo si sahihi ambazo zimewapelekea kupoteza wapenzi wao wakiwemo:-
  • Wazazi
  • Watoto
  • Ndugu
  • Marafiki wa karibu
  • Fedha nyingi
Watu hao hapo juu huw wnapote kw namna az kishirikina pasipo wao kujua, pia huwa inawasababishia hata watu kupoteza wake zao kwa imani kwmba baada ya kupoteaza mke yamkini maisha yatabadilika, madanganyo yote hayo hayo yamekuw yakifanywa na ibilisi ilimaradi kuwapumbaza watu.

JE MKRISTO NI HAKI YAKO KUWA TAJIRI?
MUNGU wetu wa mbingunindiye MWENYE ENZI YOTE ,
 Dunia na vyote viujazavyo nimali yake,wanyama wa porini, madini ,fedha na dhahabu ni mali yake ,ameweka vitu hivyo kwa makusudi kamili yan ili sisi wanadmu tuwze kuvitawala na kumiliki pamoja na KRISTO,
Hivyo ni vya kwetu sisi,
ni mali yako ila sasa ni jinsi ya wewe kumwendea MUNGU na kumkumbusha kuwa anapaswa akupe cha kwako mapema sana,
katika Isaya 45:11, MUNGU antaka tumuagize lolote juu ya wana wake,
kazi kwako ndugu yangu kumwagiza BWANA ili akujalie kadiri wya utajiri wa utukufu wake.