Wednesday, April 13, 2011

SHALOM...........!

Namshukuru MUNGU baba yetu wa mbinguni atupaye NEEMA nyingi kwa kadri apendavyo yeye, Hata kwa fursa hii ya kuanzia blogg ambayo unaisoma sasa katika computer au simu yako.
  .......ni kwa neema yake tu.........

 
Lengo la blog hii ni ili kushirikishana na kukumbushana mambo mazuri na ya ajabu ambayo MUNGU wetu anatupatia katika neema yake ambayo ameifunua kwetu sisi wanadamu inayotuwezesha kukataa dhambi na kuacha ubaya wa kila namna.

Pamoja na hayo pia nitakuwa nikikupatia matukio muhimu yanayoendelea kutokea sehemu mbalimabli pamoja na shuhuda za watu ambao MUNGU amewafadhili na wengine wakiendelea kuifurahia neema hiii ya MUNGU iokoayoa.

Zaidi ya hayo utaweza kujifunza masomo mbalibali kama ville:
  • jinsi ya kushinda,maombi
  • ukombozi na mengine mengi kadiri ROHO wa MUNGU atakavyotukirimia.

 
KARIBU KATIKA JINA LA YESU KRISTO WA NAZARETHI
 

3 comments:

  1. karibu kwa swali maoni au wazo ili kusaidiana katika kutumia nafasi MUNGU aliyotupa ili kuishi maisha ya ushindi.

    ReplyDelete
  2. kwa sasa tunajiandaa na mkesha utakaofanyika pale Diamond jubilee,huu nimkesha wa kuliombea Taifa letu hivyo watu wote mnakaribishwa,maombi yako yananafasi kubwa ya kuleta mabadiliko katika Taifa letu.

    maombi hayo yatafanyika siku ya ijumaa tarehe 15/04/2011 mpaka asubuhi ya jumamosi.

    ReplyDelete
  3. Hongera Justina, tupo nyuma yako

    ReplyDelete