Wednesday, April 20, 2011

Alhamisi kuu, siku ya kushiriki chakula cha Bwana

Huu ni muda wa kujikagua na kujichunguza na kutubu yale yatuzongayo yumkabidhi mana aliutoa uhai uhai wake kwaajili yangu mimi na wewe  1Petro 5:6-11

  Zaburi 25:1-5
"Ee BWANA, nakuinulia nafsi yangu, Ee Mungu wangu , Nimekutumainia wewe nisiabike, Adui zangu wasifurahi kwa ............."


 1Korintho 11:23-38
"........kwa maana BWANA Yesu usiku ule alipotolewa aliutwaa mkate naye akiisha kushukuru akaumega akawapa wanafunzi wake akisema, huu ndio mwili wangu ulio kwaajili yenu, fanyeni hivi kwa ukumbusho wangu............................."


                      
Mathayo 26:26-30
"...............................akautwaa mkate naye akiisha kushukuru akaumega akawapa wanafunzi wake akisema.....................sitakunywa kabisa tangu sasa uzao huu wa mzabibu, hata siku ile nitakapokunywa mpya pamoja nanyi katika ufalme wa baba yangu, Nao walipokwisha kuimba , wakatoka nje kwenda mlima wa mizeituni.

MAOMBI
Tunakushukuru Mungu wa mbinguni kwaajili ya mwanao mpendwa Yesu Kristo ambaye ameutoa uhai wake kuwa dhabihu safi machoni pako kwaajili  yangu,ili mimi mwenye dhambi niweze kusafishwa mwili na roho na kuwa kiumbe kipya mbele zako,
Nakushukuru kwaajili ya damu yake inisafishayo na kuniondolea makosa yote,
Asante kwaajili ya jina lake ambalo linanilinda,
Nakushukuru kwa neema ya wokovu ninayoipata katika neno lake la uzima,
Asante kwa Roho wako mtakatifu aniongozaye,anifundishaye,anishauriye na kunisaidia katika kufanya maamuzi ya maisha yangu ili niweze kuishi maisha matakatifu.
Ninakuomba sasa BWANA unijalie kuishi maisha ya ukamilifu na imani ili niweze kuitunza neema hii ya wokovu na kufanikiwa na kubarikiwa katika maisha yangu .
A  M  E  N  I.

T.D. Jakes 9 calls out the conflict demon




T.D. Jakes 9 calls out the conflict demon, posted with vodpod

Prayer to Jesus

Oh BWANA YESU
Wewe uliye na moyo wa utii na unyenyekevu, naomba uniokoe kutoka kuabudiwa, kupendwa, kuinuliwa, kusifiwa, kukubalika kuliko wewe, kuaminiwa kuliko wewe, kuhesabiwa haki kuliko wewe, Uniondolee woga wa kunyanyasika, kudharauliwa, kusahaulika, kutofanikiwa, kugandamizwa, kuhisiwa, kukosea, kushutumiwa, kutokupendwa inavyostahili, kutoa maamuzi dhaifu yasio na ushindi bali nipe rehema za kutoa maamuzi yenye baraka kwa jamii na kwangu pia, Kwa rehema zako nijalie kubarikiwa ,kufanikiwa ,kuongezeka, kukubalika, kusikilizwa na  kuwa mtakatifu kama inavyostahili.
A  M  E  N  I
Maombi haya yatampa YESU nafasi yake katika maisha yako mana hakuna aliye na haki kuliko yeye, pia maombi haya yanatukumbusha kuwa tunahesabiwa haki kwa neema na imani na wala si kwa matendo ya sheria.

Monday, April 18, 2011

UNAJUA KUWA UMEUSHINDA ULIMWENGU?

1Yohana 4:4
"Ninyi, watoto wadogo, mwatokana na MUNGU nanyi mmewashinda, kwa sababu yeye aliye ndani yenu ni mkuu kuliko yeye aliye katika dunia"


Leo, ni veme kukumbushana kuwa tu washindi katika maish ay ahapa duniani ambayo MUNGU mwenyewe alituandalia sisi ili tuweze kuyaishi.Hivyo ndugu wewe na mimi tu washindi katika maish akatika nafasi zifuatazo:-
  • Kazi nzuri
  • Kumiliki magari na majumba makubwa
  • Kampunij mbalimbali
  • Kuwa vongozi ili MUNGU aweze kuinuliw akatika nyanja mabalimabli za serikali na jamii kwa ujumla
  • Kuhudumu kwa uaminifu
  • Kutoa msaada na wala sio sisis kuanza kuomba msaada kwa watu wengine
  • Matajiri wa kuigwa kwani tutakuwa tukiongozwa na ROHO wake atutiae nguvu za utajiri
Unapokuwa muhitaji MUNGU anakusubiri tu umwambie unachohitaji ili ufanikiwe na pia anakungoja wewe uwe tayari il aweze ukumilikisha mali zake hivyo ndgugu hujachelewa hta kidogo bali yakubasa kukazana ili uweze kufiki akiwango kinachohitajika cha imani ili uweze kufanikiwa.

NEEMA YA MUNGU YANITOSHA: SHALOM...........!


NEEMA YA MUNGU YANITOSHA: SHALOM...........!

Maisha mazuri y amafanikio na amani..................

Kila mtu anataman masha mazuri ambayo yanampa raha kila mara anapoyaishi,
Hii ni sawa kabisa, ni haki ya kila mtu kuwajibika ipasavyo ili kupata maish ahayo anayoyapenda yeye,
Katika kujitahidi kuayatafuta watu wengi wamejikuta wakiangua kia katika njia ambazo si sahihi ambazo zimewapelekea kupoteza wapenzi wao wakiwemo:-
  • Wazazi
  • Watoto
  • Ndugu
  • Marafiki wa karibu
  • Fedha nyingi
Watu hao hapo juu huw wnapote kw namna az kishirikina pasipo wao kujua, pia huwa inawasababishia hata watu kupoteza wake zao kwa imani kwmba baada ya kupoteaza mke yamkini maisha yatabadilika, madanganyo yote hayo hayo yamekuw yakifanywa na ibilisi ilimaradi kuwapumbaza watu.

JE MKRISTO NI HAKI YAKO KUWA TAJIRI?
MUNGU wetu wa mbingunindiye MWENYE ENZI YOTE ,
 Dunia na vyote viujazavyo nimali yake,wanyama wa porini, madini ,fedha na dhahabu ni mali yake ,ameweka vitu hivyo kwa makusudi kamili yan ili sisi wanadmu tuwze kuvitawala na kumiliki pamoja na KRISTO,
Hivyo ni vya kwetu sisi,
ni mali yako ila sasa ni jinsi ya wewe kumwendea MUNGU na kumkumbusha kuwa anapaswa akupe cha kwako mapema sana,
katika Isaya 45:11, MUNGU antaka tumuagize lolote juu ya wana wake,
kazi kwako ndugu yangu kumwagiza BWANA ili akujalie kadiri wya utajiri wa utukufu wake.

Wednesday, April 13, 2011

PASAKA HIOOOOOOO

Pasaka ni muda wa kukumbuka upendo wa AGAPE aliotupenda MUNGU kama alivyosema mwenyewe katika kitabu cha injili cha Yohanna 3:16,
je utamlipa nini huyu MUNGU kwa kutupatie mwanae kama ukombozi kwetu?

picha hizi zinakukumbusha nini mara uzionapo?